NIMR

Uncategorized

Mwenyekiti Mpya wa Baraza la NIMR Apongeza Kituo cha Utafiti wa Dawa za Tiba Asili Mabibo

Mwenyekiti mpya wa Baraza la Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. James Mdoe, amefurahishwa na kazi inayofanywa na Kituo cha Utafiti wa Dawa za Tiba Asili cha NIMR Mabibo katika kuendeleza tafiti za tiba mbadala kwa afya ya Watanzania.Pongezi hizo alizitoa tarehe 24 Juni, 2025 alipofanya ziara ya kikazi kituoni hapo. Prof. Mdoe alitembelea kituo hicho kwa ajili ya kujitambulisha na kuona maendeleo ya tafiti, ugunduzi na uzalishaji wa tiba asili.Akimkaribisha katika kituo, Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Prof. Said Aboud alimpongeza Prof. James Mdoe kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi na kumuahidi kumpa ushirikiano ili kufanikisha malengo ya Taasisi. Aliwasilisha taarifa ya kituo iliyoeleza mafanikio mbalimbali katika maeneo ya rasilimali watu, vitendea kazi, miundombinu ya majengo na maabara pamoja na maendeleo ya uzalishaji ya dawa za tiba asili. Akizungumza na watumishi wa kituo hicho, Mwenyekiti wa Baraza alielekeza Taasisi kuandaa mpango mkakati wa kutofautisha huduma na biashara, watafiti kuongeza machapisho ya tafiti, kusajili haki miliki, kuongeza ushirikiano na taasisi nyingine za tiba asili kama ITM na watumishi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kufanikisha malengo ya Taasisi.Prof. Mdoe alisisitiza kuwa tiba asili ni hazina muhimu inayoweza kutoa suluhisho la changamoto nyingi za kiafya na akahimiza juhudi zaidi katika kukuza ubunifu na utafiti katika eneo hilo. Pia alishukuru kwa mapokezi mazuri na kuahidi kuendelea kushirikiana na Taasisi katika kuhakikisha kituo kinapiga hatua zaidi. Section Title Mwenyekiti Mpya wa Baraza la NIMR Apongeza Kituo cha Utafiti wa Dawa za Tiba Asili Mabibo ByErick Mboma July 25, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeanza rasmi utekelezaji wa utafiti wa majaribio ya tiba ya kuharakisha kutokomeza maambukizi ya ugonjwa wa matende na mabusha. Hayo… Read More NIMR Yaanza Utekelezaji wa Utafiti wa Majaribio ya Dawa Kutokomeza Maambukizi ya Ugonjwa wa Matende na Mabusha Lindi na Mtwara ByErick Mboma July 16, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeanza rasmi utekelezaji wa utafiti wa majaribio ya tiba ya kuharakisha kutokomeza maambukizi ya ugonjwa wa matende na mabusha. Hayo… Read More NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa ByErick Mboma July 1, 2025 Uncategorized aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa… Read More NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa ByErick Mboma June 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Amani Research Centre has completed a rigorous annual surveillance and inspection by the South African National Accreditation System (SANAS)… Read More Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya ByErick Mboma June 27, 2025 Uncategorized Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lyimo ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuunga mkono mapambano… Read More NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba ByErick Mboma June 26, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has called for a bold expansion of the One Health approach to address both communicable and non communicable diseases (NCDs) in Africa during the… Read More Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma ByErick Mboma June 23, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, amewapongeza watumishi wa NIMR kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi, uwajibikaji na uadilifu. Vilevile… Read More NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania ByErick Mboma June 22, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, tarehe 21 Juni 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Tabora, kwa lengo la… Read More Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized A delegation from the Eswatini Health and Human Research Review Board (EHHRB) has commended National Institute for Medical Research (NIMR) for its robust ethical review and approval systems in health… Read More

Mwenyekiti Mpya wa Baraza la NIMR Apongeza Kituo cha Utafiti wa Dawa za Tiba Asili Mabibo Read More »

NIMR Yaanza Utekelezaji wa Utafiti wa Majaribio ya Dawa Kutokomeza Maambukizi ya Ugonjwa wa Matende na Mabusha Lindi na Mtwara

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeanza rasmi utekelezaji wa utafiti wa majaribio ya tiba ya kuharakisha kutokomeza maambukizi ya ugonjwa wa matende na mabusha. Hayo yamebainishwa wakati wa kuendesha mafunzo ya siku mbili ya kutekeleza utafiti kwa watafiti na watoa huduma wa afya kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara.Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, yalifunguliwa rasmi na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Mwinjuma M. Mkungu. Katika hotuba yake, aliipongeza NIMR kwa kuwa kinara wa tafiti za afya nchini na kwa kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Afya katika kuandaa tafiti zenye lengo la kumaliza kabisa magonjwa yanayosumbua jamii, hususani yale yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (NTDs).“NIMR ni nguzo muhimu katika sekta ya afya kwa kuwa inatoa ushahidi wa kisayansi unaosaidia kupanga na kutekeleza afua bora. Mafunzo haya ni sehemu ya juhudi hizo,” alisema Mhe. Mkungu.Mafunzo hayo yamefuatiwa na kuanza kwa uchukuaji wa sampuli kwa washiriki wa utafiti katika kijiji cha Ruaha, kata ya Mnazi Mmoja, Wilaya ya Lindi. Utafiti huu wa kisayansi unalenga kulinganisha tiba tofauti za magonjwa ya matende na mabusha, hususani dawa ya “Doxycycline” na “Moxidectin + Albendazole”, dhidi ya Kingatiba iliyopo sasa ya “Ivermectin + Albendazole”.Mtafiti Mkuu wa mradi wa utafiti kutoka NIMR, Dkt. Akili Kalinga, alisema kuwa tafiti hizi zinalenga kutafuta tiba mbadala na bora zaidi ambazo zitaweza kuharakisha kutokomeza ugonjwa huo nchini. “Tumekuwa kwenye mapambano dhidi ya matende na mabusha kwa miaka mingi. Tunategemea kuwa utafiti huu utasaidia kuondoa kabisa vikwazo vinavyosababisha maambukizi ya Ugonjwa huu kuendelea katika baadhi ya maeneo.” alisema Dkt. Kalinga.Akizungumza wakati wa zoezi la uchukuaji wa sampuli, Mwenyekiti wa Kijiji cha Ruaha, Bi. Salima Kidamchong`we, alisema kuwa utafiti huo ni muhimu sana kwa jamii yao kwa sababu unawapa fursa ya kujua hali yao ya kiafya. “Tunatoa shukrani kwa NIMR na Wizara ya Afya kwa kutuletea utafiti huu. Ni jambo la maana na lenye manufaa kwa wananchi wetu,” alisema.Naye mmoja wa washiriki wa utafiti kutoka kijiji cha Ruaha kata ya Mnazi Mmoja, Bw. Ali Bakari Natulama, aliipongeza NIMR kwa juhudi zake na kusema kwamba tafiti kama hizi zinasaidia sana katika kuelimisha jamii na kuwakinga na magonjwa hatari kama matende na mabusha.Kwa sasa, ugonjwa wa matende na mabusha bado upo katika baadhi ya Halmashauri za wilaya nchini Tanzania ikiwemo Lindi Manispaa, Mtama, Mikindani, Kinondoni na Pangani. Licha ya mafanikio makubwa yaliyopatikana kwa Halmashauri 114 kutokomeza maambukizi ya Ugonjwa na kusitisha ugawaji wa kingatiba uliofanyika kwa miaka mingi.NIMR inatarajia kutumia matokeo ya utafiti huu kuboresha miongozo ya kitaifa na kidunia ya tiba na udhibiti wa magonjwa haya, kwa kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Afya na wadau wengine. Section Title NIMR Yaanza Utekelezaji wa Utafiti wa Majaribio ya Dawa Kutokomeza Maambukizi ya Ugonjwa wa Matende na Mabusha Lindi na Mtwara ByErick Mboma July 16, 2025 Uncategorized aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa… Read More NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa ByErick Mboma July 1, 2025 Uncategorized aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa… Read More NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa ByErick Mboma June 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Amani Research Centre has completed a rigorous annual surveillance and inspection by the South African National Accreditation System (SANAS)… Read More Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya ByErick Mboma June 27, 2025 Uncategorized Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lyimo ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuunga mkono mapambano… Read More NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba ByErick Mboma June 26, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has called for a bold expansion of the One Health approach to address both communicable and non communicable diseases (NCDs) in Africa during the… Read More Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma ByErick Mboma June 23, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, amewapongeza watumishi wa NIMR kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi, uwajibikaji na uadilifu. Vilevile… Read More NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania ByErick Mboma June 22, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, tarehe 21 Juni 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Tabora, kwa lengo la… Read More Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized A delegation from the Eswatini Health and Human Research Review Board (EHHRB) has commended National Institute for Medical Research (NIMR) for its robust ethical review and approval systems in health… Read More NIMR Conducts Capacity Building Training on Knowledge Translation for Health Researchers ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) successfully conducted a three-day training workshop on knowledge translation from 11th to 13th June 2025, at its Headquarters Sub-office in Dar es… Read More

NIMR Yaanza Utekelezaji wa Utafiti wa Majaribio ya Dawa Kutokomeza Maambukizi ya Ugonjwa wa Matende na Mabusha Lindi na Mtwara Read More »

NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa

aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa maendeleo kufadhili kazi za utafiti. Mafunzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za NIMR, jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 25 hadi 27 Juni 2025.Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo watafiti chipukizi katika kuandaa mapendekezo ya tafiti yanayoweza kushindana kwa ajili ya kupata ufadhili wa kitaifa na kimataifa sanjari na kuwaandaa kuwa viongozi wa baadaye wa tafiti zenye tija kwa jamii. Wakati huo huo, NIMR iliendesha Kambi ya Uandishi wa Makala za Kisayansi kwa watafiti 12, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taasisi wa kuongeza mchango wa watafiti wake katika jamii ya wanasayansi kupitia uchapishaji wa tafiti bunifu kwenye majarida ya kitaifa na kimataifa.Hatua hizi ni mwendelezo wa juhudi za NIMR kuboresha uwezo wa rasilimali watu, kukuza ubora wa tafiti na kuimarisha nafasi ya Tanzania katika sekta ya sayansi na utafiti barani Afrika na duniani kote. Section Title NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa ByErick Mboma July 1, 2025 Uncategorized aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa… Read More NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa ByErick Mboma June 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Amani Research Centre has completed a rigorous annual surveillance and inspection by the South African National Accreditation System (SANAS)… Read More Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya ByErick Mboma June 27, 2025 Uncategorized Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lyimo ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuunga mkono mapambano… Read More NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba ByErick Mboma June 26, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has called for a bold expansion of the One Health approach to address both communicable and non communicable diseases (NCDs) in Africa during the… Read More Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma ByErick Mboma June 23, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, amewapongeza watumishi wa NIMR kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi, uwajibikaji na uadilifu. Vilevile… Read More NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania ByErick Mboma June 22, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, tarehe 21 Juni 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Tabora, kwa lengo la… Read More Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized A delegation from the Eswatini Health and Human Research Review Board (EHHRB) has commended National Institute for Medical Research (NIMR) for its robust ethical review and approval systems in health… Read More NIMR Conducts Capacity Building Training on Knowledge Translation for Health Researchers ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) successfully conducted a three-day training workshop on knowledge translation from 11th to 13th June 2025, at its Headquarters Sub-office in Dar es… Read More Waziri Simbachawene Aipongeza NIMR kwa Kufanya Utafiti wa Afya Unaogusa Jamii ByErick Mboma June 19, 2025 Uncategorized Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa George Simbachawene, ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa mchango wake… Read More

NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa Read More »

NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa

The National Institute for Medical Research (NIMR) Amani Research Centre has completed a rigorous annual surveillance and inspection by the South African National Accreditation System (SANAS), reinforcing its position as a leading OECD Good Laboratory Practice (GLP) Accredited Testing Facility for vector control research and evaluation in Africa. The two-day inspection that was conducted from 26th to 27th June 2025, was led by SANAS Programme Manager Mr. Shedrack Phophi. The audit focused on evaluating the Centre’s compliance with OECD GLP principles, which govern the quality, integrity, and reliability of non-clinical health and environmental studies. The inspection outcome was highly positive, confirming NIMR Amani’s continued adherence to international standards. In 2023, the NIMR Amani Centre made history by becoming the first public testing facility in East Africa to receive OECD GLP accreditation and certification for research, development, and evaluation of novel vector control tools and products. The certification was granted by SANAS under Facility Compliance Number G0035. This milestone has enabled the Centre to support Phase I and II laboratory trials and Phase III community-based randomized controlled trials (RCTs) for major vector-borne disease interventions. The Centre has since become a trusted partner for industrial, pharmaceutical, and agrochemical companies seeking WHO pre-qualification for their products.Speaking after the inspection, Amani Centre Manager Dr. William Kisinza representing NIMR Director General expressed appreciation for the collaborative effort behind this achievement. “This successful inspection underscores our unwavering commitment to quality, scientific integrity, and global standards. We sincerely thank NIMR management for their support and our dedicated GLP team for their professionalism and hard work,” said Dr. Kisinza.The Amani Centre also extended its sincere appreciation to SANAS for organizing and conducting the surveillance inspection, and for providing valuable recommendations for continued improvement. The Centre’s accreditation enhances its capacity to generate high-quality, internationally accepted data on the efficacy of vector control products, contributing to public health advancements in Tanzania and beyond. As part of a growing network of certified facilities in Africa, NIMR Amani Centre continues to play a vital role in the fight against vector-borne diseases.This accomplishment reflects NIMR’s broader vision to become a continental leader in health research and innovation, delivering evidence-based solutions for Africa’s pressing health challenges.

NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa Read More »

Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya

Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lyimo ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuunga mkono mapambano dhidi ya madhara ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kufanya tafiti zenye tija – kuibua kifua kikuu kwa waraibu wa dawa za kulevya. Kamishna Lyimo ametoa pongezi hizo leo katika kilele cha maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya Duniani alipotembelea banda la NIMR katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma ambapo ametoa cheti cha ushiriki kama mshirika muhimu katika kuunga mkono juhudi za kitaifa na kimataifa za kutokomeza janga la dawa za kulevya kupitia tafiti zenye tija. Katika maadhimisho hayo, NIMR imetoa huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu kuhusu tafiti za afya na kuonesha shughuli zinazotekelezwa katika vituo vyake mbalimbali vya utafiti nchini. Aidha Mtafiti Mwandamizi Dkt. Lilian Tina Minja, akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa NIMR amesema katika utafiti walioufanya wamebaini changamoto za uibuaji wa kifua kikuu katika ngazi ya jamii kwa kupitia makundi rika ikiwa ni pamoja na uhamaji wa mara kwa mara wa waraibu wa dawa za kulevya, unyanyapaa na kujihusisha kwa waraibu wa dawa za kulevya na tabia hatarishi zinazochangia kuongeza maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu.Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Kassim aliyemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ambapo maadhimisho hayo yalibebwa na Kauli mbiu inayosema “Wekeza kwenye Kinga na Tiba Dhidi ya Dawa za Kulevya”.

Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya Read More »

NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba

The National Institute for Medical Research (NIMR) has called for a bold expansion of the One Health approach to address both communicable and non communicable diseases (NCDs) in Africa during the 10th East African Health and Scientific Conference (EAHSC), where the Tanzanian delegation was led by NIMR Director General Prof. Said Aboud and included a keynote address by Dr. Calvin Sindato, Principal Public Health Researcher and Head of NIMR Tabora Research Station. Prof. Said Aboud also sits as a Commissioner of East Africa Health Research Commission. The Conference Held in Juba from June 25–27, the regional gathering attracted research scientists, policymakers, and practitioners from all eight East African Community (EAC) member states, as well as international partners. The conference theme was “Addressing Health Priorities and Advancing the East African Region Health Agenda to Meet Global Health Targets.”In his keynote, Dr. Sindato stressed that the traditional focus of the One Health approach on zoonotic diseases is no longer sufficient. He advocated for a comprehensive strategy that integrates the growing burden of NCDs, driven by climate change and lifestyle factors, into national and regional public health responses.“Communicable diseases and NCDs are increasingly interconnected,” said Dr. Sindato. “The government and society approach is essential for effective prevention and control.”He called for stronger multi-sectoral collaboration spanning from animal health, environment, education, agriculture, finance, urban planning, civil society, and the private sectorbuild resilient health systems capable of responding to complex health challenges.Dr. Sindato also highlighted the potential of digital tools and community-led innovations, including mobile platforms, digital surveillance systems, and participatory disease monitoring, as critical to early detection and rapid response. He proposed a joint regional mission to prioritize both epidemic-prone infectious diseases and high-impact NCDs.Among the key challenges he outlined were: limited public awareness of the One Health concept, inadequate funding, fragmented data systems, weak multisectoral coordination, and the neglect of NCDs in many One Health strategies. He offered practical solutions tailored to the region’s capacities and stressed the importance of leveraging East Africa’s growing political will, digital infrastructure, and institutional frameworks.NIMR’s participation reaffirmed Tanzania’s strong commitment to regional collaboration and scientific leadership. Under Prof. Aboud leadership, NIMR continues to spearhead research that informs health policy, strengthens disease prevention, and enhances public health systems in Tanzania and across the East Africa region.

NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba Read More »

Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, amewapongeza watumishi wa NIMR kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi, uwajibikaji na uadilifu. Vilevile, ameipongeza timu ya maandalizi ya NIMR kwa kufanikisha maonesho yenye mafanikio makubwa katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2025. Prof. Aboud ametoa pongezi hizo leo tarehe 22 Juni 2025, alipotembelea banda la NIMR katika viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma ambako maadhimisho hayo yanaendelea kufanyika. “Watumishi wenzangu, tuendelee kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na miongozo ya Serikali. Tuuishi uadilifu kwa vitendo” amesema Prof. Aboud. Banda la NIMR limeendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi, ikiwemo elimu kuhusu tafiti za afya na kuhamasisha matumizi ya bidhaa za tiba asili zinazozalishwa na kituo cha NIMR Mabibo. Banda hilo  limeendelea kuvutia watu wa kada mbalimbali, wakiwemo wananchi wa kawaida, wanafunzi, watumishi wa umma na viongozi wa Serikali. Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ni jukwaa maalumu linalowezesha taasisi za umma kuonesha huduma wanazotoa kwa wananchi pamoja na mafanikio yaliyopatikana. Pia ni fursa ya kuhamasisha uwajibikaji, weledi na utoaji wa huduma bora kwa umma.

Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma Read More »

NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, tarehe 21 Juni 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Tabora, kwa lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya miundombinu na kuhimiza uboreshaji wa mazingira ya kazi kwa ajili ya kuongeza ufanisi na tija katika tafiti.Katika ziara hiyo ya siku moja, Prof. Aboud amepokea taarifa ya maendeleo kutoka kwa Mkuu wa Kituo hicho, Dkt. Calvin Sindato, kuhusu miradi inayoendelea ikiwemo ukarabati wa jengo la utawala na ujenzi wa uzio wa kuzunguka kituo kwa ajili ya kuimarisha ulinzi na kuboresha mazingira ya kazi. Baada ya maelezo hayo, Prof. Aboud alitembelea eneo la ujenzi na kujionea hatua ya utekelezaji wa miradi hiyo.Akizungumza na watumishi wa kituo hicho, Prof. Aboud alisema kuwa uboreshaji wa miundombinu ni sehemu ya mkakati wa kitaasisi wa kukifanya Kituo cha Tabora kuwa miongoni mwa vituo vya mfano nchini katika utoaji wa suluhisho la changamoto za kiafya kwa kutumia ushahidi wa kisayansi.“NIMR itaendelea kuwekeza katika miundombinu, vifaa vya kisasa vya utafiti, mafunzo ya kuwajengea uwezo na motisha kwa watumishi”. “Lengo letu ni kuhakikisha tafiti zetu zinaleta matokeo yanayogusa maisha ya wananchi na kushawishi sera za afya” amesema Prof. Aboud.Kituo cha NIMR Tabora kilianzishwa mwaka 1922, na ni miongoni mwa vituo kongwe zaidi vya utafiti wa afya nchini. Kituo kimekuwa na mchango mkubwa katika tafiti za kudhibiti ugonjwa wa Malale (Human African Trypanosomiasis) hususan katika maeneo yenye hatari kubwa ya maambukizi nchini Tanzania.Katika miaka ya hivi karibuni, kituo hiki kimepanua wigo wa tafiti zake kwa kutumia mtazamo wa Afya Moja (One Health) unaojumuisha afya ya binadamu, wanyama, na mazingira. Vipaumbele vya tafiti za sasa katika kituo hiki ni pamoja na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa afya, homa za virusi za kutokwa damu, magonjwa yanayosambazwa na mbu pamoja na vimelea vya maradhi na ufuatiliaji wa vinasaba kwa vimelea vinavyoweza kusababisha milipuko ya magonjwa.Kituo kimeanza kutumia teknolojia rahisi na inayobebeka ya upimaji wa vinasaba kwa ajili ya kugundua mapema na kukabiliana na milipuko ya magonjwa. Teknolojia hii inasaidia kuongeza uwezo wa taifa katika kuzuia na kudhibiti magonjwa ya milipuko na hivyo kulinda afya ya jamii.Ziara ya Prof. Aboud imetoa msukumo mpya kwa maendeleo ya kituo cha NIMR Tabora. Kupitia uwekezaji katika miundombinu, vitendea kazi, rasilimali watu na teknolojia, NIMR inaendelea kujidhihirisha kama taasisi ya kimkakati katika kukabiliana na changamoto za afya kwa kuzalisha ushahidi wa kisayansi kuanzia ngazi ya jamii hadi kimataifa.

NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania Read More »

Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research

A delegation from the Eswatini Health and Human Research Review Board (EHHRB) has commended National Institute for Medical Research (NIMR) for its robust ethical review and approval systems in health research regulation. The commendation was made during a visit to NIMR Sub-office in Dar es Salaam. The visit which began on Monday 16th June 2025, was undertaken following a recommendation by the World Health Organization (WHO), which recognized Tanzania as a model country with well-established mechanisms in research ethics that other nations can learn from. The EHHRB team was led by Mr. Rudolph Maziya, Chairperson of the Board, and Ms. Babazile Hazel Shongwe, Executive Secretary. The primary objective of the visit was to learn about Tanzania’s ethical and regulatory framework, especially that managed by NIMR. The delegation was officially received by the Director General of NIMR, Prof. Said S. Aboud, who gave an overview of the Institute’s mandate in promoting, coordinating, and regulating health research in Tanzania. Also in attendance were Dr. Mary Mayige, the Director of Research Information and Regulatory Affairs, Dr. Obadia Bishoge, Head of the Health Research Regulation Section, and members of the National Health Research Ethics Committee (NatHREC) Secretariat. During the visit, the team was briefed on Tanzania’s health research regulatory framework, including the National Health Research Ethics Committee (NatHREC) protocol review process and the operation of the National Research Ethics Information Management System (NREIMS). NREIMS is a digital platform that enables researchers to submit proposals for ethical review by NatHREC and Institutional Review Boards (IRBs) across the country. The Eswatini delegation expressed admiration for the efficiency and success of NREIMS, describing it as a transformative tool that has streamlined ethical review processes and improved accountability in research oversight. They expressed strong interest in adopting a similar system in Eswatini to enhance their own research governance. Beyond the technical engagement, the visitors also acknowledged the warmth and professionalism extended to them by NIMR staff throughout their visit. They praised Tanzania’s leadership in health research regulation and emphasized the value of continued collaboration between the two institutions. During winding up of the visit, Prof. Aboud thanked the delegates for their visit and reaffirmed NIMR commitment to supporting regional partnerships and promoting excellence in ethical oversight across the continent.

Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research Read More »

NIMR Conducts Capacity Building Training on Knowledge Translation for Health Researchers

The National Institute for Medical Research (NIMR) successfully conducted a three-day training workshop on knowledge translation from 11th to 13th June 2025, at its Headquarters Sub-office in Dar es Salaam. The workshop brought together 19 research scientists from NIMR Muhimbili, Mbeya, Tanga, Mabibo, and Dodoma Centres, along with participants from the Zanzibar Health Research Institute (ZAHRI). The primary objective of the training was to strengthen researchers’ capacity to translate scientific knowledge into practical policy tools. The training workshop focused on the development of policy briefs and explored effective strategies for packaging and communicating research evidence to support evidence-informed decision-making and policy formulation in Tanzania. The training was officially opened by the Director for Research Coordination and Promotion, Dr. Nyanda Elias Ntinginya, on behalf of the Director General of NIMR, Prof. Said Aboud. In opening remarks, Dr. Ntinginya encouraged researchers to embrace policy brief development as a critical outcome of their research work and reminded them that producing policy briefs is among the key criteria for career advancement at NIMR. The training covered several thematic areas including identifying communication gaps between researchers and policy makers, defining health-related problems based on Tanzania’s National Health Research Agenda, using systematic reviews as a tool for evidence synthesis, and understanding the structure and content of effective policy briefs. Additionally, participants learned on how to present their research findings through various dissemination platforms such as policy dialogue meetings. By the end of the workshop, participants had developed a total of 19 policy briefs, each addressing specific health issues that are aligned with national priorities. Facilitation was provided by experts from NIMR including Dr. Elizabeth H. Shayo, Mr. Emanuel Makundi, Ms. Stella Kilima, and Dr. Marywinne Nanyaro. Workshop participants expressed appreciation to the NIMR Management for moral and financial support, which was instrumental in ensuring the successful delivery of the training. This training is part of NIMR ongoing efforts to bridge the gap between research and policy, reinforcing the role of scientific evidence in shaping public health interventions and national development.

NIMR Conducts Capacity Building Training on Knowledge Translation for Health Researchers Read More »