NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa
aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa maendeleo kufadhili kazi za utafiti. Mafunzo hayo yalifanyika katika ofisi ndogo za NIMR, jijini Dar es Salaam, kuanzia tarehe 25 hadi 27 Juni 2025.Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo watafiti chipukizi katika kuandaa mapendekezo ya tafiti yanayoweza kushindana kwa ajili ya kupata ufadhili wa kitaifa na kimataifa sanjari na kuwaandaa kuwa viongozi wa baadaye wa tafiti zenye tija kwa jamii. Wakati huo huo, NIMR iliendesha Kambi ya Uandishi wa Makala za Kisayansi kwa watafiti 12, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taasisi wa kuongeza mchango wa watafiti wake katika jamii ya wanasayansi kupitia uchapishaji wa tafiti bunifu kwenye majarida ya kitaifa na kimataifa.Hatua hizi ni mwendelezo wa juhudi za NIMR kuboresha uwezo wa rasilimali watu, kukuza ubora wa tafiti na kuimarisha nafasi ya Tanzania katika sekta ya sayansi na utafiti barani Afrika na duniani kote. Section Title NIMR Yawanoa Watafiti Vijana Kuandika Maandiko ya Tafiti za Afya Yanayoweza Kushindana Kimataifa ByErick Mboma July 1, 2025 Uncategorized aasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendesha mafunzo maalumu kwa watafiti vijana 13 kuhusu namna ya kuandaa maandiko ya tafiti za afya kwa madhumuni ya kuvutia washirika wa… Read More NIMR Amani Centre Passes OECD GLP Surveillance Inspection, Reaffirms Position as Leading Public Test Facility in East Africa ByErick Mboma June 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Amani Research Centre has completed a rigorous annual surveillance and inspection by the South African National Accreditation System (SANAS)… Read More Kamishna Jenerali wa DCEA Aipongeza NIMR kwa Kuunga Mkono Juhudi za Serikali za Kupiga Vita Dawa za Kulevya ByErick Mboma June 27, 2025 Uncategorized Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Bw. Aretas Lyimo ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa kuunga mkono mapambano… Read More NIMR Advocates for Broader One Health Strategy at Regional Health Conference in Juba ByErick Mboma June 26, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has called for a bold expansion of the One Health approach to address both communicable and non communicable diseases (NCDs) in Africa during the… Read More Mkurugenzi Mkuu NIMR Atoa Wito wa Uadilifu kwa Watumishi wa Umma ByErick Mboma June 23, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, amewapongeza watumishi wa NIMR kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi, uwajibikaji na uadilifu. Vilevile… Read More NIMR Yadhamiria Kuiboresha Tabora kuwa Kitovu cha Utafiti wa Afya Kanda ya Magharibi Mwa Tanzania ByErick Mboma June 22, 2025 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof. Said Aboud, tarehe 21 Juni 2025, amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Utafiti cha NIMR Tabora, kwa lengo la… Read More Eswatini Delegation Commends NIMR Ethical Oversight in Health Research ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized A delegation from the Eswatini Health and Human Research Review Board (EHHRB) has commended National Institute for Medical Research (NIMR) for its robust ethical review and approval systems in health… Read More NIMR Conducts Capacity Building Training on Knowledge Translation for Health Researchers ByErick Mboma June 21, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) successfully conducted a three-day training workshop on knowledge translation from 11th to 13th June 2025, at its Headquarters Sub-office in Dar es… Read More Waziri Simbachawene Aipongeza NIMR kwa Kufanya Utafiti wa Afya Unaogusa Jamii ByErick Mboma June 19, 2025 Uncategorized Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa George Simbachawene, ameipongeza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kwa mchango wake… Read More