NIMR

Uncategorized

Wanawake wa NIMR Mbeya Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa Matendo ya Huruma na Elimu ya Uwiano wa Majukumu ya Kazi na Familia.

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, tarehe 08 Machi, wanawake wa Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Kituo cha Mbeya walionyesha mshikamano na kujitolea kwa jamii kupitia shughuli mbalimbali za kijamii, matendo ya huruma, na utoaji wa elimu, wakilenga kuimarisha ustawi wa wanawake na makundi yenye uhitaji maalumu. Maadhimisho haya mwaka huu yalibeba kaulimbiu isemayo: “Haki ya Mwanamke na Wasichana, Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050.”Maadhimisho hayo yalianza kwa ziara ya kipekee katika kituo cha watoto yatima cha Mountain Glory, kilichopo Pambogo, kata ya Iyela. Watumishi wa NIMR Mbeya walitoa msaada wa vyakula, nguo, na mashine ya kufulia nguo, ili kusaidia kuboresha maisha ya kila siku ya watoto waliokuwa katika kituo hicho.Pia, wanawake hao walitembelea Kituo cha Afya Ruanda kilichopo jijini Mbeya, ambapo walikabidhi mashuka kwa ajili ya wodi ya wazazi. Msaada huo unatarajiwa kuboresha huduma na mazingira ya wagonjwa, hususan akina mama wanaojifungua katika kituo hicho.Siku ya kilele ilijaa elimu na mafunzo. Madaktari na watafiti wa NIMR Mbeya walitoa elimu kwa wanawake kutoka taasisi mbalimbali kuhusu umuhimu wa tafiti za afya na nafasi ya wanawake kushiriki kikamilifu katika tafiti hizo. Lengo lilikuwa kuongeza uelewa na kuhamasisha wanawake kuwa sehemu ya maendeleo ya sayansi na afya katika jamii.Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Dkt. Betrece Ngaraguza aliwafundisha wanawake namna ya kuweka uwiano kati ya majukumu ya kazi, familia, na jamii bila kuathiri afya zao. Alisisitiza kuwa kupanga majukumu kwa uangalifu ni muhimu kulinda afya za kimwili na kiakili.Kwa upande wake, Dkt. Lucy Mrema alitoa mada kuhusu uhusiano kati ya biolojia ya mwanamke na maisha ya kisasa, akisisitiza jinsi maarifa haya yanavyosaidia wanawake kupanga kwa ufanisi kazi, maisha binafsi na familia huku wakihakikisha afya zao zinadumishwa.Naye mlezi wa wanawake wa NIMR Mbeya, Bi. Mwanaharabu Gwato, alisema shughuli hizi ni sehemu ya utamaduni uliojengeka miongoni mwa wanawake wa taasisi hiyo. Alibainisha kuwa wanawake wa NIMR Mbeya wamekuwa na desturi ya kuangalia na kusaidia jamii zenye uhitaji maalumu kama njia ya kurejesha mchango kwa jamii.Maadhimisho haya yamethibitisha kuwa wanawake si tu nguvu kazi katika utafiti na maendeleo ya afya, bali pia ni nguzo muhimu katika kuimarisha ustawi wa jamii kupitia elimu, huduma, na mshikamano. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

Wanawake wa NIMR Mbeya Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa Matendo ya Huruma na Elimu ya Uwiano wa Majukumu ya Kazi na Familia. Read More »

Wanawake wa NIMR Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa Kuwasaidia Watoto Yatima.

Katika kusheherekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, wanawake wa Kituo cha Utafiti cha NIMR Tanga wameadhimisha siku hiyo kwa kutembelea Kituo cha Watoto Yatima cha FURAHA, kilichopo Raskazone, jijini Tanga, na kutoa msaada wa mahitaji muhimu kama unga, mchele, mafuta, sabuni za kufulia na za kuogea. Baada ya kukabidhi vitu hivyo, watoto hao walionyesha furaha na shukurani zao kupitia nyimbo na michezo mbalimbali.Maadhimisho haya hufanyika kila tarehe 08 Machi. Mwaka huu, yalikuwa na kaulimbiu isemayo: “Haki ya Mwanamke na Wasichana, Msingi wa Maendeleo Jumuishi Kufikia Dira 2050.”Akizungumza kwenye tukio hilo kwa niaba ya wanawake wa NIMR Tanga, Dr. Veneranda Bwana alisema ni desturi ya wanawake wa NIMR kushiriki katika masuala ya jamii, na akasisitiza kwamba kila siku ni fursa ya kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya wengine. “Siku ya Wanawake Duniani ni fursa ya kusherehekea wanawake, lakini pia ni wakati wa kuonyesha mshikamano na wale walioko kwenye hali ngumu,” alisisitiza Dr. Bwana.Msimamizi wa kituo hicho aliwashukuru wanawake wa NIMR Tanga kwa msaada huo na akakaribisha wadau mbalimbali kuendeleza jitihada za kutoa misaada, akibainisha kwamba watoto hao wanahitaji msaada ili kuendeleza maisha yao. Section Title Mkurugenzi Mkuu NIMR Aridhishwa na Maendeleo ya Utafiti na Huduma Kituo Kidogo cha Gonja. ByErick Mboma March 10, 2026 Uncategorized Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Profesa Said S. Aboud, ameridhishwa na maendeleo ya shughuli za utafiti na utoaji wa huduma za maabara yanayoendelea… Read More Wanawake wa NIMR Mbeya Waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa Matendo ya Huruma na Elimu ya Uwiano wa Majukumu ya Kazi na Familia. ByErick Mboma March 9, 2026 Uncategorized Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, tarehe 08 Machi, wanawake wa Taasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Kituo cha Mbeya walionyesha mshikamano na kujitolea kwa jamii… Read More Wanawake wa NIMR Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa Kuwasaidia Watoto Yatima. ByErick Mboma March 9, 2026 Uncategorized Katika kusheherekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, wanawake wa Kituo cha Utafiti cha NIMR Tanga wameadhimisha siku hiyo kwa kutembelea Kituo cha Watoto Yatima cha FURAHA, kilichopo Raskazone… Read More NIMR Yatoa Matokeo ya Utafiti Kuonyesha Mwelekeo Mpya wa Kujenga Ustahimilivu Dhidi ya Magonjwa ya Mlipuko Yanayosababishwa na Wadudu Dhurifu ByErick Mboma March 1, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), tarehe 26 Februari 2026, kupitia mradi wa RAFT (Resilience Against Future Threats through Vector Control), imewasilisha matokeo ya utafiti… Read More NIMR Director General Strengthens Research Direction at Tanga Centre to Address National Health Priorities ByErick Mboma February 26, 2026 Uncategorized The Tanga Medical Research Centre had the honor of hosting Professor Said Aboud, the Director General of the National Institute for Medical Research (NIMR), on 24th February 2026, during an official… Read More NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare ByErick Mboma February 21, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the East African Health Research Commission (EAHRC), have launched the 1st National Workshops on Ethics and Clinical Research… Read More NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES ByErick Mboma February 19, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in… Read More NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

Wanawake wa NIMR Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa Kuwasaidia Watoto Yatima. Read More »

NIMR Yatoa Matokeo ya Utafiti Kuonyesha Mwelekeo Mpya wa Kujenga Ustahimilivu Dhidi ya Magonjwa ya Mlipuko Yanayosababishwa na Wadudu Dhurifu

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), tarehe 26 Februari 2026, kupitia mradi wa RAFT (Resilience Against Future Threats through Vector Control), imewasilisha matokeo ya utafiti kuhusu magonjwa ya mlipuko yanayoenezwa na mbu pamoja na usugu wa mbu dhidi ya viuatilifu, hatua inayolenga kuimarisha ustahimilivu wa taifa katika kukabiliana na vitisho vya magonjwa hayo.Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Mkurugenzi wa Kuratibu na Kukuza Tafiti, Dkt. Nyanda Elias Ntinginya, amesema Tanzania inahitaji kuimarisha mifumo yake ya ufuatiliaji na maandalizi ili kukabiliana kwa ufanisi na ongezeko la vitisho vya magonjwa yanayoenezwa na mbu.Amesisitiza kuwa tafiti za kisayansi zinapaswa kuwa msingi wa maamuzi ya kisera, hasa katika kipindi hiki ambacho mabadiliko ya mazingira, ukuaji wa miji na ongezeko la mwingiliano wa watu vinaongeza hatari ya milipuko ya magonjwa kama dengue na magonjwa mengine ya virusi yanayoenezwa na mbu.Kwa upande wake, Mtafiti Kiongozi wa Mradi wa RAFT, Dkt. Alphaxard Manjurano, amesema lengo la mkutano huo lilikuwa kuwasilisha matokeo muhimu kuhusu usugu wa mbu dhidi ya viuatilifu na vitisho vya magonjwa ya mlipuko yanayoenezwa na mbu, pamoja na kuyajadili kwa kina na wadau wakuu wa udhibiti wa wadudu dhurifu nchini.Akiwasilisha matokeo ya tathmini ya kitaifa ya utayari wa mfumo wa afya kukabiliana na vitisho vya mbu, Dkt. Manjurano alibainisha kuwa licha ya kuwepo kwa vituo 34 vya ufuatiliaji wa malaria (sentinel sites), bado kuna haja ya kuanzisha programu mahsusi ya kitaifa ya ufuatiliaji wa kawaida wa mbu wanaoeneza magonjwa.“Kwa mujibu wa utafiti wa mwaka 2024, ufuatiliaji wa mbu wa kuanzia hatua za mabuu hadi mbu waliokomaa haujawahi kufanyika kwa mfumo wa kitaifa. Hii inaonesha umuhimu wa kuimarisha mfumo wa utambuzi wa mapema wa hatari za milipuko ya magonjwa ya yanayoenezwa na wadudu,” alisisitiza Dkt. Manjurano.Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya kupitia Programu ya Taifa ya Udhibiti wa Malaria, Bw. Winfred Mwafongo, amesema matokeo hayo yatasaidia kuboresha sera na miongozo ya kukabiliana na malaria na magonjwa mengine yanayoenezwa na wadudu.Naye Mwakilishi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt. Jovin Kitau, ameipongeza NIMR kwa kufanya utafiti huo, akisema utachangia kuimarisha kinga ya jamii dhidi ya magonjwa yanayoenezwa na wadudu na kuongeza usalama wa afya ya umma.Aidha, Mtafiti Mkuu kutoka NIMR, Dkt. William Kisinza, amesema katika majadiliano ya kikao hicho wadau wamependekeza kuimarishwa kwa programu maalumu inayosimamia masuala ya wadudu dhurifu ili kuongeza ufanisi wa udhibiti wa magonjwa yanayoenezwa na wadudu.Kwa upande wake, Bi. Jackeline Martin, Mtafiti kutoka NIMR aliyefanya utafiti kuhusu ufanisi wa viuatilifu vilivyopo kwenye vyandarua, amesema matokeo yanaonesha ongezeko la usugu wa mbu dhidi ya viuatilifu hivyo, jambo linaloonesha umuhimu wa kuendelea kuboresha mikakati ya udhibiti ili kuhakikisha vyandarua vinaendelea kuwa na ufanisi.Mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam, uliwakutanisha wadau mbalimbali wa udhibiti wa wadudu dhurifu kutoka Wizara ya Afya, NIMR, Shirika la Afya Duniani (WHO), Taasisi ya Afya ya Ifakara, pamoja na wadau wengine wa sekta ya afya. Section Title NIMR Yatoa Matokeo ya Utafiti Kuonyesha Mwelekeo Mpya wa Kujenga Ustahimilivu Dhidi ya Magonjwa ya Mlipuko Yanayosababishwa na Wadudu Dhurifu ByErick Mboma March 1, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), tarehe 26 Februari 2026, kupitia mradi wa RAFT (Resilience Against Future Threats through Vector Control), imewasilisha matokeo ya utafiti… Read More NIMR Director General Strengthens Research Direction at Tanga Centre to Address National Health Priorities ByErick Mboma February 26, 2026 Uncategorized The Tanga Medical Research Centre had the honor of hosting Professor Said Aboud, the Director General of the National Institute for Medical Research (NIMR), on 24th February 2026, during an official… Read More NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare ByErick Mboma February 21, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the East African Health Research Commission (EAHRC), have launched the 1st National Workshops on Ethics and Clinical Research… Read More NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES ByErick Mboma February 19, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in… Read More NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Yatoa Matokeo ya Utafiti Kuonyesha Mwelekeo Mpya wa Kujenga Ustahimilivu Dhidi ya Magonjwa ya Mlipuko Yanayosababishwa na Wadudu Dhurifu Read More »

NIMR Director General Strengthens Research Direction at Tanga Centre to Address National Health Priorities

The Tanga Medical Research Centre had the honor of hosting Professor Said Aboud, the Director General of the National Institute for Medical Research (NIMR), on 24th February 2026, during an official working visit aimed at strengthening research direction and institutional collaboration. As one of NIMR’s leading hubs for clinical trials and biomedical research, the Centre continues to play a pivotal role in addressing neglected tropical diseases and other national health priorities.Ongoing projects include malaria, emerging arboviral infections, Mpox, antimicrobial resistance (AMR), and neglected tropical diseases (NTDs) such as onchocerciasis, lymphatic filariasis, Buruli ulcer, and epilepsy. The Centre is also pioneering evidence on the intersection of climate change and health.During his visit, the Director General engaged with discussion on ongoing projects, sharing invaluable insights to refine strategies and ensure alignment with the NIMR strategic plan and national health research priorities. His visit underscored the Tanga Centre’s critical role in tackling the most pressing health challenges facing local communities.He emphasized the importance of strengthening partnerships among NIMR centres, local and international partners and community stakeholders to enhance health systems. “Research should address local needs and priorities head on,” he stated, particularly regarding non-communicable diseases and NTDs. The Director General also urged researchers to avoid working in “silos” and to leverage networks, partnerships and collaborations to navigate today’s uncertain and dynamic landscape.The Director General encouraged staff to uphold work ethics, rules, regulations and professional standards, emphasizing that maintaining integrity is key to driving shared success and sustained excellence.The NIMR Tanga management and staff expressed their gratitude for the visit, noting that it inspired them to continue executing their duties with professionalism, dedication, and innovation. They emphasized that the Director General presence demonstrates NIMR management commitment to supporting and strengthening research activities across all its centres, while pledging to continue producing high-quality research findings that inform evidence-based health policies and services in Tanzania. Section Title NIMR Director General Strengthens Research Direction at Tanga Centre to Address National Health Priorities ByErick Mboma February 26, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the East African Health Research Commission (EAHRC), have launched the 1st National Workshops on Ethics and Clinical Research… Read More NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare ByErick Mboma February 21, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the East African Health Research Commission (EAHRC), have launched the 1st National Workshops on Ethics and Clinical Research… Read More NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES ByErick Mboma February 19, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in… Read More NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Director General Strengthens Research Direction at Tanga Centre to Address National Health Priorities Read More »

NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare

The National Institute for Medical Research (NIMR) in collaboration with the East African Health Research Commission (EAHRC), have launched the 1st National Workshops on Ethics and Clinical Research to strengthen Tanzania’s capacity to generate ethical, high-quality research evidence that is critical for improving healthcare outcomes.The workshop equips health professionals with essential knowledge and practical skills in ethics and clinical research while highlighting regional support mechanisms that are available through EAHRC to promote research excellence.Speaking at the opening ceremony, NIMR Director General, Prof. Said S. Aboud, emphasized the central role of research in improving public health outcomes across East Africa and urged participants to utilise existing health data to generate meaningful evidence actively.“We already have a wealth of data in our health facilities. What we must do is to transform the available health data into research evidence. Turning data into actionable knowledge is key to advancing evidence-based healthcare,” he said. The Director of Research Coordination and Promotion, Dr. Nyanda Ntinginya, oversaw the conduct of this landmark national workshop. The East African Health Research Commission serves as a regional advisory body supporting knowledge generation, technological advancement, and harmonized research practices across East Africa.The five-day intensive training, held from 17th–21st February 2026 at the Golden Tulip Hotel, in Dar es Salaam brought together health professionals from across Tanzania Mainland and Zanzibar including clinicians, epidemiologists, researchers, academicians, and other experts from Government and private institutions such as research organizations, universities, hospitals, and NGOs. NIMR has formal MoUs with many of these institutions fostering structured collaborations that support capacity building, mentorship and promotion of health research particularly among early career scientists. The workshop thus aimed to strengthen research capacity and promote ethical evidence-based healthcare across the region. Section Title NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare ByErick Mboma February 21, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in… Read More NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES ByErick Mboma February 19, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in… Read More NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR and EAHRC Launch Landmark National Workshop on Evidence-Based Healthcare Read More »

NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa STEPPS (Strengthening Health System Capacity for Access and Delivery of Paediatric Praziquantel for Schistosomiasis in Tanzania) tarehe 18 Februari 2026 imezindua rasmi Utafiti wa utoaji wa dawa ya kichocho aina ya paediatric praziquantel kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, hatua inayopanua wigo wa matibabu kwa kundi ambalo kwa muda mrefu halikujumuishwa katika kampeni za utoaji dawa kwa pamoja. Uzinduzi huo umefanyika jijini Mwanza wakati wa Warsha ya Wadau ya kuanza kwa utoaji wa dawa hiyo chini ya Mradi wa STEPPS. Akizindua rasmi utafti huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe, amesema hatua hiyo ni ya kihistoria kwa Tanzania, hasa baada ya nchi kuwa ya kwanza katika ukanda huu na huenda duniani kusajili dawa ya paediatric praziquantel. Ameongeza kuwa matokeo ya mwisho ya utekelezaji wa mradi huo yataisaidia Serikali kuiingiza dawa hiyo katika mwongozo rasmi wa utoaji wa huduma za afya nchini. Ameeleza kuwa ushahidi wa kisayansi uliokusanywa kwa zaidi ya muongo mmoja umeonesha kuwa watoto chini ya miaka mitano wanaoishi katika maeneo yenye maambukizi makubwa ya kichocho wanaweza pia kuambukizwa, hali iliyosukuma juhudi za kutafuta mfumo maalumu wa dawa kwa kundi hilo la watoto chini ya miaka mitano. Aidha, amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada za kupambana na ugonjwa huo kupitia utoaji wa elimu kwa jamii, utekelezaji wa afua za kinga na tiba pamoja na kuboresha usimamizi wa maji katika maeneo yenye maambukizi.Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Prof. Said Aboud, amesema uzinduzi huo ni matokeo ya safari ndefu ya utafiti, ubunifu na ushirikiano wa kimataifa ulioanza mwaka 2020 kupitia Mradi wa STEPPS. Amefafanua kuwa katika hatua ya utekelezaji, mifumo miwili jumuishi ya utoaji dawa—Test and Treat na Mass Drug Administration (MDA)—ilijaribiwa ili kubaini njia bora yenye ufanisi, gharama nafuu na inayokubalika zaidi kwa jamii kabla ya upanuzi wa kitaifa.Naye Mtafiti Kiongozi wa mradi huo, Dkt. Paul Erasto Kazyoba, amesema tafiti zimeonesha kuwa watoto chini ya umri wa miaka mitano pia wana maambukizi ya kichocho, ilhali awali afua za dawa zililenga zaidi watoto wa umri wa kwenda shule kuanzia miaka sita. Ameongeza kuwa dawa hiyo imefanyiwa majaribio na imeonesha usalama na ufanisi kwa watoto wadogo, ikiwa na maboresho makubwa ikilinganishwa na dawa ya awali, ikiwemo kupunguza usumbufu uliokuwa ukijitokeza kwa baadhi ya watumiaji. Amesisitiza kuwa mradi huo umejengwa juu ya ushirikiano kati ya NIMR, Wizara ya Afya na washirika wa maendeleo wakiwemo UNDP, WHO/TDR na PATH, kwa ufadhili wa GHIT Fund ya Japan pamoja na END FUND.Kwa upande wake, Mkurugenzi wa UNDP na Naibu Mwakilishi Mkazi wa Tanzania, Bw. John Rutere, amesema taasisi hiyo imeona umuhimu wa kushirikiana na NIMR, Serikali na wadau wengine katika kuhakikisha watoto chini ya miaka mitano wanapata dawa stahiki ya kutibu kichocho, akibainisha kuwa ushirikiano huo utaendelea si tu katika kudhibiti kichocho bali pia katika kushughulikia changamoto nyingine za afya ya jamii. Naye Bi. Grace Bahati, mkazi wa Kijiji cha Ishayahisho, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, ameishukuru NIMR kwa mradi huo wa utafiti akisema utasaidia kubaini maambukizi ya kichocho mapema na kuwapatia watoto dawa, hatua itakayochangia kulinda afya ya jamii.Warsha hiyo imewakutanisha wadau kutoka ndani na nje ya nchi kujadili mikakati ya kuongeza upatikanaji wa dawa hiyo nchini na katika ukanda wa Afrika Mashariki, sambamba na kuimarisha mifumo ya afya kwa ajili ya kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ifikapo mwaka 2030. Warsha hiyo ilitanguliwa na ziara ya kutembelea maeneo ambayo utafiti unafanyika, ikiwamo Hospitali ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, ambapo wadau walijionea zoezi la utambuzi wa ugonjwa na ugawaji wa dawa likiendelea. Section Title NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES ByErick Mboma February 19, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization

NIMR Yazindua Utafiti wa Utoaji wa Dawa ya Kichocho kwa Watoto Chini ya Miaka Mitano Kupitia Mradi wa STEPPES Read More »

NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha mashirikiano katika tafiti, mafunzo na matumizi ya teknolojia za kisasa katika utoaji wa huduma bora za afya ya akili nchini.Kupitia ushirikiano huu, taasisi hizo zitaongeza uwezo wa wataalamu wa afya ya akili kupitia mafunzo na tafiti shirikishi zitakazotoa ushahidi wa kisayansi kwa lengo la kuboresha sera, miongozo na utoaji wa huduma kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi na ubora kwa wananchi. Ushirikiano huo pia utahusisha utekelezaji wa pamoja wa miradi ya utafiti, kuandika machapisho ya kitaaluma, kuandaa vijarida sera na ushawishi katika kuboresha huduma kwa wananchi.Makubaliano haya yanakusudia kupanua wigo wa tafiti katika eneo la afya ya akili, kuunganisha utaalamu, matumizi ya rasilimali watu wenye ubobezi na uzoefu wa taasisi hizo, na kuhakikisha matokeo ya tafiti yanawafikia wananchi na kuleta mabadiliko chanya katika maisha yao.Hafla ya utiaji saini imefanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya NIMR jijini Dodoma na kuongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Prof. Said Aboud, akiwa na Meneja wa Kituo cha NIMR Dodoma, Dk. Basiliana Emidi. Kwa upande wa MNMH, ujumbe uliongozwa na Dk. Innocent R. Mwombeki aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji, akiongozana na Veronica Haule na Anewa Saweni. Section Title NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe (MNMH) leo tarehe 13/02/2026 zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) inayolenga kuimarisha… Read More NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Zasaini Hati ya Makubaliano Kushirikiana Katika Tafiti Nchini Read More »

NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi wa afya 18 wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana (Amana RRH) katika uandishi wa maandiko ya utafiti (Proposal Development), hatua inayolenga kuboresha huduma za afya kwa jamii kupitia tafiti zenye ubora na ushahidi wa kisayansi. Mafunzo hayo ya siku nne yalifanyika kuanzia tarehe 26 hadi 29 Januari 2026 katika hospitali hiyo yakilenga kuwawezesha watoa huduma wa afya kubuni, kuandaa na kuwasilisha mapendekezo bora ya tafiti za kisayansi zinazoweza kupata ufadhili na kuleta matokeo chanya katika sekta ya afya. Kupitia mafunzo hayo ya vitendo, washiriki walipata ujuzi wa kuandaa maandiko ya kisayansi yenye viwango, kuimarisha uwezo wa uandishi wa kitaaluma, kuelewa na kuzingatia maadili ya utafiti pamoja na kutumia takwimu sahihi katika kutatua changamoto za kiafya zinazowakabili wananchi. Akifungua mafunzo hayo, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana, Dkt. Bryceson Loti Kiweru, alisema utafiti ni nyenzo muhimu isiyoweza kuepukika katika sekta ya afya. “Swala zima la utafiti haliepukiki katika sekta ya afya na inahitajika ushirikiano na taasisi zinazofanya utafiti ili kuboresha huduma za afya nchini,” alisema Dkt. Kiweru. Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Idara ya Tafiti kutoka kituo cha NIMR Muhimbili, Dkt. Ester Mbutolwe, alisisitiza umuhimu wa matumizi sahihi ya takwimu katika kuibua suluhisho la changamoto za afya. “Kila mtu akijengewa uwezo vizuri anaweza kutoa mchango wake katika kuboresha afya za wananchi. Takwimu sahihi ni msingi wa utafiti wenye matokeo ya kuaminika. Ushirikiano kati ya NIMR na hospitali za rufaa za mkoa ni muhimu,” alisisitiza Dkt. Mbutolwe. Mafunzo hayo ni sehemu ya jitihada za NIMR za kuimarisha tafiti za afya nchini kwa kuwajengea uwezo wataalamu walioko kwenye vituo vya kutolea huduma, ili tafiti zinazofanyika ziweze kutoa majibu ya changamoto halisi za jamii na kuboresha ubora wa huduma za afya nchini. Section Title NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya ByErick Mboma February 13, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMTaasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo cha Muhimbili, imewajengea uwezo watumishi… Read More WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Yawanoa Watumishi wa Afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana Kuandika Maandiko ya Utafiti Kuboresha Huduma za Afya Read More »

WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration

The National Institute for Medical Research – Mbeya Medical Research Centre (NIMR-MMRC) on 10th February 2026 hosted a high-level delegation from Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR) in a strategic visit aimed at strengthening collaboration in HIV and clinical research. The delegation was led by Commander Colonel (COL) Brianna Perata and accompanied by senior representatives from WRAIR-USA, WRAIR-Tanzania and CDC-Tanzania, as well as officials from the Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation and the Regional Commissioner’s Office in Mbeya.The visit marked a significant milestone in the long-standing partnership between WRAIR and NIMR, particularly under PEPFAR-supported HIV research programs, reinforcing joint efforts to advance scientific innovation and improve public health outcomes.The WRAIR delegation was officially received and welcomed at NIMR-MMRC by the Director General of NIMR, Prof. Said Aboud. In a notable highlight of the event, NIMR-MMRC was awarded a Medal of Excellence by COL Brianna Perata in recognition of the outstanding contributions to medical research and public health in Tanzania. During his remarks, Prof. Aboud reaffirmed NIMR’s commitment to advancing high-quality, impactful research through strong global partnerships.During the visit, the delegation received a comprehensive overview of ongoing clinical trials and collaborative research initiatives at the Centre. Presentations were delivered by the Centre Manager, Dr. Bariki Mtafya, and the Director of Research Coordination, Dr. Nyanda Elias Ntinginya, highlighting the Centre’s growing role in HIV and TB research; cohort, epidemiological, vaccines including broad neutralizing antibodies (bNAbs), drugs, therapeutics, biomarkers, diagnostics and preventive therapy.The delegation toured key research facilities including the HIV Vaccine Trial Clinics, the state-of-the-art main laboratory accredited by the College of American Pathologists (CAP), and the DAIDS/NIH-certified pharmacy, where ongoing clinical research activities were showcased. The technical teams demonstrated the Centre’s operational excellence and research capacity. Prof. Aboud accompanied the Commander and her delegation throughout the tour, underscoring the importance of the collaboration.The engagement reaffirmed the strong partnership between NIMR-MMRC and WRAIR and emphasized a shared commitment to advancing cutting-edge research to improve health outcomes in Tanzania and beyond. Section Title WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration ByErick Mboma February 12, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

WRAIR Delegation Visits NIMR–Mbeya Centre to Advance HIV Research Collaboration Read More »

Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge

Kiwango cha ugonjwa wa usubi kwa watu wenye kifafa katika eneo la Mahenge, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kimepungua hadi asilimia 22, huku maambukizi kwa ujumla yakipungua kwa takribani asilimia 40, kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa “Ubunifu wa Njia za Huduma za Kifafa Barani Afrika (EPInA)”. Matokeo hayo yamewasilishwa katika mkutano wa siku mbili unaoendelea katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam, ukiwakutanisha wadau kutoka Wizara ya Afya, Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Taasisi mbalimbali za Serikali, pamoja na washirika wa maendeleo kutoka Uingereza, Kenya na Ghana. Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kujadili matokeo ya utafiti uliofanyika Mahenge, mkoani Morogoro, na kuweka mikakati ya kuendeleza mapambano dhidi ya usubi na kifafa. Akifungua mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekhalaghe, aliyemwakilisha Waziri wa Afya, Mhe. Mohammed Mchengerwa, amesema mafanikio hayo yanaonesha matokeo chanya ya ushirikiano kati ya Serikali, watafiti na jamii. “Haya ni mafanikio makubwa ya jitihada za pamoja. Kupungua kwa kiwango cha maambukizi kwa asilimia 40 ni ishara kuwa tuko kwenye mwelekeo sahihi,” ameeleza Dkt. Shekhalaghe. Aliongeza kuwa ili kutokomeza kabisa tatizo hilo, ni muhimu kuendelea na uimarishaji wa utoaji wa dawa hasa aina ya Ivermectin pamoja na kuongeza elimu kwa jamii. “Niwaombe wananchi waendelee kushiriki kikamilifu katika matumizi ya dawa na kuamini wataalamu wa afya. Kifafa na usubi ni magonjwa yanayozuilika na kutibika,” alisisitiza. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Dkt. George PrayGod, Meneja wa Kituo cha Utafiti cha NIMR Muhimbili amesema utafiti huo umetoa takwimu muhimu zitakazosaidia kuboresha sera na miongozo ya utoaji wa huduma za afya. “Takwimu hizi ni msingi muhimu wa maboresho ya sera na mikakati ya afya ya umma, hususan katika maeneo yenye maambukizi ya usubi na kifafa,” alisema. Kwa upande wake, Mtafiti Kiongozi wa EPInA, Dkt. Bruno Mmbando, alisema tafiti zinaonesha uhusiano wa karibu kati ya usubi na kifafa, ambapo maeneo yenye maambukizi makubwa ya usubi pia huwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kifafa. “Mahenge bado ina changamoto kutokana na mazingira yake ya kijiografia yenye misitu inayochangia mazalia ya vimelea. Hata hivyo, tumeshuhudia mafanikio makubwa ukilinganisha na miaka ya nyuma,” alisema Dkt. Mmbando. Alibainisha kuwa maeneo ya Tukuyu (Mbeya) na Amani (Tanga) tayari yameonesha mafanikio makubwa zaidi, jambo linalotoa matumaini kuwa tatizo hilo linaweza kudhibitiwa kikamilifu. Naye mshirika wa mradi wa EPInA kutoka Chuo Kikuu cha Oxford, Uingereza, Profesa Charles Newton, alisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kimataifa katika mapambano hayo. “Kama tulivyoweza kupiga hatua kubwa katika kudhibiti malaria, tunaweza pia kupunguza kwa kiwango kikubwa kifafa kinachohusishwa na usubi endapo tutaendelea kushirikiana kisayansi na kimkakati,” alisema Profesa Newton. Utafiti wa EPInA ulitekelezwa Mahenge kwa lengo la kuimarisha huduma za kifafa kupitia maboresho ya kinga, uchunguzi wa mapema, matibabu na kuongeza uelewa wa jamii, ikiwa ni sehemu ya jitihada za muda mrefu za kupunguza na hatimaye kutokomeza usubi na kifafa nchini.  Section Title Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge ByErick Mboma February 7, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Emerges as a Global and Regional Leader in EDCTP-Supported Health Research ByErick Mboma January 12, 2026 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania, has been recognized as a leading contributor to internationally competitive health research following its strong performance in… Read More NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More 𝗡𝗜𝗠𝗥 Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

Matokeo ya utafiti wa EPInA yaonesha kupungua kwa usubi na kifafa Mahenge Read More »