NIMR

Erick Mboma

NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya na wadau mbalimbali, kwa lengo la kuimarisha matumizi ya ushahidi wa kisayansi katika kuandaa na kutekeleza sera zinazohusu maandalizi, kinga na mwitikio wa taifa dhidi ya magonjwa yanayolipuka na kurejea mara kwa mara.Akifungua mkutano huo, Mgeni Rasmi Dkt. Ahmad Mohamed Makuwani, Mkurugenzi wa Huduma ya Afya ya Uzazi, Magonjwa ya Wanawake na Watoto kutoka Wizara ya Afya, akimwakilisha Mganga Mkuu wa Serikali, amesema kuwa majadiliano hayo yanakuja katika kipindi muhimu kwa taifa, ambapo kumekuwa na kuendelea kushuhudiwa kwa milipuko ya magonjwa kama kipindupindu, dengue, COVID-19 na Marburg. Amesema hali hiyo inaweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya na hivyo kuhitaji sera zinazojengwa juu ya ushahidi madhubuti wa kisayansi.“Mkutano huu ni jukwaa muhimu la kutafakari mazingira ya milipuko ya magonjwa nchini na kuimarisha uwezo wa pamoja wa taifa katika kuzuia, kugundua mapema na kukabiliana na vitisho vya afya ya jamii vya sasa na vya baadaye,” amebainisha Dkt. Makuwani. Ameongeza kuwa majadiliano ya sera ni nyenzo muhimu ya kuunganisha tafiti na maamuzi ya kisera ili kufanikisha uamuzi unaozingatia ushahidi.Aidha, Dkt. Makuwani amesisitiza umuhimu wa kuimarisha tafiti za ndani, ikiwemo utafiti wa tiba asili, akibainisha kuwa uzoefu wa mlipuko wa UVIKO-19 umeonesha mchango wa tiba asili katika kupunguza madhara kwa jamii. Akitoa wito, ameahidi kuwa Serikali itaendelea kuwekeza katika tafiti za tiba asili na mifumo ya kitaifa ya utafiti.Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Profesa Said Aboud, amesema kuwa mkutano huo umeandaliwa mahsusi kushughulikia masuala nyeti yanayohusiana na magonjwa yenye uwezekano wa kusababisha milipuko, huku ukilenga kuhakikisha matokeo ya tafiti yanatafsiriwa na kutumika moja kwa moja katika sera na mipango ya kitaifa.Prof. Aboud ameeleza kuwa mkutano huo ni jukwaa la tafsiri ya maarifa, linalowaunganisha watafiti, watunga sera na watekelezaji ili kujadili ushahidi uliopo, kubadilishana uzoefu na kuandaa mapendekezo yatakayosaidia kuimarisha maandalizi, kinga na mwitikio wa taifa dhidi ya milipuko ya magonjwa.“Tafiti zinaonesha kuwa maandalizi madhubuti dhidi ya milipuko yanategemea mifumo imara ya ufuatiliaji wa magonjwa, nguvu kazi ya afya iliyo imara na minyororo thabiti ya upatikanaji wa vifaa tiba,” ameongeza Prof. Aboud.James Tumain Tengia, mwakilishi kutoka Wizara ya TAMISEMI, ameipongeza NIMR kwa kuandaa mkutano huo, akisema kuwa umefanikiwa kuwakutanisha watafiti, watunga sera na watoa maamuzi ili kuchakata matokeo ya tafiti mbalimbali na kuja na maoni yatakayosaidia kuboresha sera na miongozo ya utoaji wa huduma za afya.Elizabeth Shayo, Mtafiti Mkuu kutoka NIMR, amesema kuwa mkutano huo umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa umetoa fursa ya kujadili namna bora ya kupambana na magonjwa ya mlipuko yanayoweza kutokea nchini.Akitoa majumuisho ya mkutano huo, Dkt. Ernest Mazigo, mtafiti kutoka NIMR na mratibu wa mdahalo huo amesema kuwa wadau ambao ni watunga sera na watoa maamuzi wamepokea mapendekezo mbalimbali yaliyotolewa na wameanza kuangalia namna ya kuyaingiza katika mifumo na utekelezaji wa sera za afya.Mdahalo huo wa siku moja uliofanyika katika Ukumbi wa CEEMI, ofisi ndogo za NIMR jijini Dar es Salaam, ulijikita katika kuangalia namna ushahidi wa kisayansi unavyoweza kuboresha sera na miongozo ya utoaji wa huduma za afya nchini, pamoja na kubaini vipaumbele vya tafiti na mapungufu ya utekelezaji. Mdahalo huo uliandaliwa kwa ushirikiano wa wataalamu kutoka Kurugenzi ya Kuratibu na Kukuza Utafiti ya NIMR akiwemo Mr. Emmanuel Makundi, Dkt. Stellah Kilima na Dkt. Elizabeth Shayo, huku Profesa Moshi Ntabaye aliyeendesha mjadala huo akishiriki kikamilifu katika kufanikisha mdahalo huo wa sera. Section Title NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa ByErick Mboma January 9, 2026 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya… Read More NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial

NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa Read More »

NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania

The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens in Tanzania at the Ministry of Health (MOH) in Mtumba, Dodoma. The event was graced by the Acting DPS Dr Vida Mbaga together with heads of sections in surveillance from the MoH, representatives from ILI/SARI sentinel sites, National Public Health Laboratory (NPHL) and the US Centres for Disease Control and Prevention (CDC) Tanzania underscoring the importance of multisectoral collaboration in addressing public health priorities.Presenting the most salient findings, Dr Juma Kisuse, representing NIMR, presented that the study applied targeted Next-Generation Sequencing (tNGS) technology to comprehensively profile circulating respiratory pathogens and their associated antimicrobial resistance (AMR) genes. A total of 484 samples were randomly selected from the national ILI/SARI surveillance system and analyzed, covering the period from October 2023 to September 2024 across five geographical zones: Northern, Lake, Central, Coastal, and Southern Highlands. The study revealed a predominance of bacterial pathogens, dominated by Streptococcus mitis, Streptococcus pneumoniae, and Haemophilus influenzae, compared to the most commonly viruses reported. The findings further revealed a high burden of bacterial and viral co-infections, with 89.5% of patients harbouring 2-14 pathogens. Thirty percent of patients exhibited mixed bacterial and viral co-infections, underscoring the complexity of diagnosis and management of ARI. Moreover, bacterial pathogens circulated year-round with clear peaks in June to December while viral pathogens showed sharper pathogen-specific peaks – CMV in March, Adenovirus in May, and SARS-CoV-2 in January/September. The study findings further indicated a high prevalence of Antimicrobial Resistance (AMR) Genes associated with Doxycycline, Beta-lactamases and Sulphonamides.In concuding remarks, NIMR DG, Prof Said Aboud commented that Streptococcus mitis, S pneumoniae and H influenzae infections were more frequent than viruses demonstrating a shift in trend from viruses to bacteria. He commented on the importance to strengthen immunization against Haemophilus influenza type b which is part of penta 5. He remarked to broaden the scope of ARI surveillance from current SARS Cov-2 and influenza virus to detect more pathogens with more possible use of tNGS in order to guide the interventions on ARI. Furthermore, he thanked the entire study team – Dr Mary Mayige, Dr Clara Lubinza, Dr Gibson Kagaruki, Sudi Lwitiho and Dr Seth Misago. Section Title NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania ByErick Mboma December 24, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania Read More »

Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs”

A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse wastewater and environmental surveillance (WES) from Dar es Salaam and Tanga, pilot sites where the project is being implemented, the study’s preliminary results provide a population-level snapshot of circulating antimicrobial resistance (AMR) genes in environmental ecosystems. The researchers detected signals of resistance to common antimicrobial drugs and pinpointed hotspots of antimicrobial resistance “superbug”. These results offer a complementary tool for surveillance to inform targeted interventions, bridging the One Health gap created by the traditional focus on clinical surveillance, often overlooking the environmental reservoirs of AMR. “Using advanced genomic tools, we tested local wastewater and uncovered a hidden landscape of AMR threats. This environmental surveillance approach provides an early warning tool for public health.” Jackson Claver, Head of Genomics Department, NPHL. Dr Vito Baraka, Principal Scientist and lead Investigator in Tanzania, explained that “WES of pathogens and AMR is a radar of population health, what goes down our drains tells a story about our community health. This wastewater and environmental based surveillance provide a complementary tool for detecting early signals in our communities including AMR threats, informing targeted public health interventions, and protecting our communities. The approach is effective, empowering preventive actions and enabling us to take precise measures to safeguard our antimicrobial agents.”Dr Eric Lyimo, co-Investigator in the study highlighted that: “AMR doesn’t respect boundaries, and its cross-cutting issue that need multisectoral and multidisciplinary approach. AMR genes from farms, hospitals, and households can mix in our wasteways and environment. Therefore, protecting our antibiotics requires a integrated approach across through One Health concept, cutting across all sectors including human, veterinary and agriculture and environmental ecosystems.”The ODIN project, funded by the European & Developing Countries Clinical Trials Partnership (EDCTP3), is a multinational initiative. The ODIN Consortium brings together North-South partners and integrates high-capacity genomic technologies to advance wastewater surveillance for public health impact. The consortium brings together partners from the National Institute for Medical Research (NIMR) and National Public Health Laboratory (NPHL) in Tanzania, the University of Kinshasa (UNIKIN) in DR Congo, and the Institut de Recherche en Sciences de la SantĂ© (IRSS) in Burkina Faso together with NORCE (Norway), VIB-UGent (Belgium), the TGHN University of Oxford’s Global Health Network (UK), the Finnish Institute for Health and Welfare (THL), and Lund University, Sweden. This collaborative platform is dedicated to exchanging technological innovation, strengthening capacity, advancing methodological approaches in WES and translating pathogen genomic data into actionable public health intelligence. This collaborative model ensures that surveillance tools are co-developed, context-specific and validated within the local settings. The project also focused on capacity strengthening to create and strengthen a scalable blueprint for WES across sub-Saharan Africa. #MinistryOfHealth #NIMR #NPHL #WastewaterAndEnvironmentalSurveillance. #AdvancingHealthResearch#EnhancingLife#ODIN#WES Section Title Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” ByErick Mboma December 12, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs” Read More »

NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week

In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to 5th December 2025, reaffirming its commitment to combating AMR. The theme of WAAW was “Act Now: Protect Our Present, Secure Our Future”. The event, inaugurated by his excellency Ambassador Dr. Emmanuel John Nchimbi, the Vice President of United Republic of Tanzania on behalf of H.E. President Dr. Samia Suluhu Hassan was attended by policymakers, research scientists, academicians, youth leaders and international partners to exchange knowledge, strengthen collaborations, and accelerate actionable solutions to the growing AMR threat.The National Institute for Medical Research (NIMR) played an important role in the success of the week-long continental Africa commemoration. As a member of the National Multisectoral Coordinating Committee on AMR and part of the event organizing committee, NIMR contributed to shaping the agenda, coordinating sessions, and driving discussions that bridged policy, science, and practice.NIMR scientists presented ten key studies covering clinical and environmental aspects of AMR.NIMR research scientists presented ten key studies covering clinical and environmental aspects of AMR. Highlights included Wastewater and Environmental Surveillance for Pathogen Detection and Antimicrobial Resistance Gene Profiling in Tanzania, Molecular Characterization of Extended-Spectrum-Beta- Lactamase-Producing Klebsiella pneumoniae among children and chickens in Korogwe District, Prevalence, Diagnostic Accuracy, and Antimicrobial Resistance Patterns of Uropathogens in Urinary Tract Infections at Ngamiani Health Center in Tanga, Prevalence and Antimicrobial Resistance Profiles of ESKAPE pathogens isolated from clinical samples in Tanga City, Laboratory-Based Surveillance of Antimicrobial Resistance in Urinary Tract Pathogens at Bombo Regional Referral Hospital, Tanga Region, and The Prevalence of Multi-Drug Resistant Salmonella typhi Isolated from Blood Samples at Selected Health Facilities in Korogwe District, Tanga.Additional presentations showcased environmental and hospital-based surveillance, including Multidrug-Resistant Bacteria Contamination on Highly Touched Surfaces among the Public Transports in Tanga City, North-Eastern Tanzania, Molecular Epidemiology and Antimicrobial Resistance of Extended-Spectrum Beta-Lactamase-Producing Enterobacter cloacae Complex in Neonatal Units in Tanga, and Emerging Antimicrobial Resistance among Bloodstream Infections at Tanga Regional Referral Hospital and Ngamiani Health Centre: A 2023–2025 Surveillance Study. The EXPAND-AMR study, led by Professor John Lusingu, Principal Investigator at NIMR Tanga, provided critical insights into overdiagnosis of urinary tract infections and associated antibiotic resistance, demonstrating actionable strategies for improved diagnostics and treatment.Through its engagement, NIMR reinforced the One Health approach, integrating human, animal, agriculture, and environmental health perspectives while delivering evidence-based recommendations to protect Tanzania’s antibiotic resources. By showcasing scientific leadership and strategic direction, NIMR strengthens Tanzania’s position at the forefront of AMR research, policy development, and continental collaboration.The event underscored that combating AMR requires robust laboratory infrastructure, accurate diagnostics, evidence-based treatment, and integrated One Health strategies. NIMR continues to translate research into actionable policy, safeguarding public health in Tanzania and across Africa.Other participants from NIMR included Dr. Vito Baraka, Principal Scientist and Lead Investigator of the ODIN project; Dr. Eric Lyimo, Co-Investigator of the ODIN project; and Mr. Athanas Mhina, Laboratory Technologist. Other key NIMR contributors and scientists who actively organized, presented, and facilitated sessions throughout the event also participated, demonstrating the institute’s comprehensive engagement at all levels of the continental WAAW 2025 event. Section Title NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More NIMR Strengthens Global Research Collaboration ByErick Mboma September 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) on 29th September 2025, launched a five-day research collaboration meeting at Mwanza Medical Research Centre, focusing on sharing research findings… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week Read More »

NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke. Mafunzo hayo ya siku tatu, yaliyofanyika kuanzia tarehe 26 hadi 28 Novemba 2025, yalilenga kuwajengea uwezo washiriki katika kubuni, kuandaa na kuwasilisha mapendekezo bora ya tafiti za kisayansi.Katika mafunzo hayo, washiriki walipata fursa ya kufanya mazoezi kwa vitendo kuhusu hatua muhimu za uandishi wa andiko la utafiti, ikiwemo kuandaa mapendekezo yenye ubora, kuimarisha uwezo wa uandishi wa kisayansi, kuelewa na kutekeleza maadili ya utafiti, pamoja na kubadilisha mawazo ya kitaalamu na kuwa tafiti zenye matokeo chanya na zinazoweza kupata ufadhili.Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu, Mkurugenzi wa Kukuza na Kuratibu Tafiti NIMR (DRCP) Dkt. Nyanda E. Ntinginya, ameushukuru uongozi wa Hospitali ya Temeke kwa kuthamini umuhimu wa mafunzo hayo na kuhakikisha ushiriki mpana wa watumishi wake. Amesisitiza kuwa ujuzi walioupata washiriki unapaswa kutumika kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa kuanzisha, kuendesha na kuchapisha tafiti zenye manufaa kwa wananchi na taifa kwa ujumla.Dkt. Nyanda pia alibainisha kuwa NIMR itaendelea kuimarisha ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Temeke katika kukuza uwezo wa watumishi, kuendeleza tafiti za pamoja na kuhamasisha matumizi ya ushahidi wa kisayansi katika kuboresha huduma za afya nchini.Mafunzo hayo yanaibua matumaini mapya kwa watumishi wa afya Temeke, huku yakitarajiwa kuongeza ubunifu, ushindani na tija katika uandaaji wa tafiti zenye mchango mkubwa katika mfumo wa afya wa Tanzania. Section Title NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 9, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii Read More »

NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide

The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national capacity to oversee clinical trials in line with the highest scientific and ethical standards. This is the second training after the first one which was conducted to clinical trial researchers from 24th to 26th November 2025 as part of the similar initiative of the project.Speaking during the official opening of the training, NIMR Director General, Prof. Said Aboud, said the initiative forms part of the national strategy to enhance the country’s clinical research framework at a time when rapid technological advancements and the growth of health research demand robust ethical and regulatory systems. He emphasized that the training is designed to enhance the efficiency of IRBs in receiving, analyzing, and reviewing research proposals involving human participants, while ensuring that rights, safety, and welfare of trial participants are fully protected.Providing an overview of the training, Dr. Obadia Bishoge, Coordinator of the TRACE Project and Deputy Secretary of the National Health Research Ethics Committee (NatHREC), explained that the initiative is part of the implementation of the TRACE (Trial Regulation and Clinical Ethics Optimization) Project, which is being carried out in Tanzania, Rwanda, Zimbabwe, and Nigeria with funding from the Gates Foundation. He noted that the project aims to transform Africa’s currently fragmented and largely manual ethics and regulatory systems into harmonized, efficient, and digitally supported processes.Dr. Bishoge further outlined that TRACE seeks to build capacity for national ethics committees and regulatory agencies, harmonize policies and guidelines to align with regional and international standards, strengthen digital systems such as RIMS and NREIMS to streamline submissions and reviews, and enhance clinical trial oversight through improved GCP and GCLP monitoring, reporting, and inspections. He added that the project also intends to support IRBs in securing accreditation and strengthening the financial sustainability of the ethics review model.Prof. Aboud further noted that Tanzania’s ethics system operates through coordinated roles of the NIMR Medical Research Coordinating Committee (MRCC), NatHREC, and delegated accredited IRBs at institutional levels, ensuring that ethical oversight is effectively implemented from institutional to national platform.The two-day training, organized by NIMR in collaboration with TMDA, focuses on strengthening participants’ understanding of ethical issues in clinical research, identifying and mitigating potential risks, ensuring fair benefit-sharing, preventing research misconduct and improving overall quality in the conduct of clinical trials. Participants were drawn from various IRBs across the country and were taken through key thematic areas including Overview of Clinical Trial Regulation and Oversight in Tanzania, Accreditation Requirements and Processes for IRECs/IRBs, Workflow Optimization to Reduce Review and Approval Timelines; Effective Review of Clinical Trial Protocols: Ethical and Scientific Considerations, NatHREC SOPs, and the Handling of Notifications, SAE, and SUSAR Reports.Participants are expected to return to their institutions with enhanced knowledge that will improve integrity, transparency, and efficiency within the national clinical trial ecosystem. This training marks a significant milestone in building a trustworthy and globally competitive clinical trial environment in Tanzania. Section Title NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to… Read More NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii ByErick Mboma December 7, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya… Read More NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide Read More »

đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers

The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building training for Clinical Trials researchers under the “Trial Regulation and Clinical Ethics Optimization (TRACE) in Africa” Project. Speaking during the opening of the three-day training, NIMR Director General, Prof. Said Aboud, said that clinical trials continue to become more complex as technology rapidly evolves, requiring highly skilled professionals as well as strong ethical and regulatory frameworks to guide their implementation. Prof. Aboud emphasized that NIMR is committed to strengthening the national clinical research system to ensure it aligns with current scientific demands and international standards. “These trainings go beyond classroom learning. They incorporate interactive approaches, including practical simulations and case analysis, to enhance decision-making skills, identify ethical gaps, and ensure compliance with regulatory requirements,” he added. The TRACE Project aims to deliver four major outcomes: strengthening ethics and regulatory capacity, improving efficiency and speed in reviewing clinical trial applications, enhancing quality in trial oversight and monitoring, and promoting collaboration, information access, and positive research impact across the country. Prof. Aboud urged participants to make full use of the training and return to their institutions as ambassadors of high professional and ethical standards in the conduct of clinical trials. Section Title NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide ByErick Mboma December 2, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national… Read More đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers ByErick Mboma November 24, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kwa ushirikiano na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) leo tarehe 24/11/2025 imeendesha mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo watafiti wa… Read More NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More NIMR Strengthens Global Research Collaboration ByErick Mboma September 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) on 29th September 2025, launched a five-day research collaboration meeting at Mwanza Medical Research Centre, focusing on sharing research findings… Read More Wizara ya Afya Yazindua Baraza la Nimr Jipya ByErick Mboma September 28, 2025 Uncategorized Wizara ya Afya leo tarehe 26/09/2025 imezindua Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), hatua muhimu inayolenga kuimarisha utafiti wa kisayansi, kukuza ubunifu na… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

đ—Ąđ—œđ— đ—„ Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers Read More »

NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi pamoja na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa (Sokoine) ili kuzindu awamu ya pili ya utekelezaji wa mradi. Mkutano huo umetoa fursa ya kujadili mbinu bora za kutekeleza mradi unaolenga kupambana na vikwazo vya kupambana na ugonjwa wa mabusha na matende katika mkoa wa Lindi na mikoa mingine yenye tatizo hili. Aidha mkutano huo umejikita katika kufanya mapitio ya utekelezaji wa awamu ya kwanza na kuweka mikakati thabiti kwa awamu ya pili ya kuendelea kupunguza maambukizi katika maeneo machache yaliyosalia na pia namana ya kuwahudumia wenye madhara ya mabusha na matende. Akifungua mkutano huo, Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Dkt. Enock S. Chilumba, aliishukuru NIMR kwa kuichagua Lindi kuwa eneo la utekelezaji wa mradi huo muhimu. Amesema kuwa mradi wa TAKeOFF awamu ya kwanza umesaidia kuibua wagonjwa wa maradhi ya mabusha na matende zaidi ya 4,000 na kwamba wagonjwa 3,571 walipatiwa matibabu kupitia Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDCP) kwa kushirikiana na wadau wengine wa afya. “Kuwepo kwa NIMR Lindi ni fursa kubwa wanatusaidia kuwajengea uwezo watumishi wetu katika nyanja za utafiti na kuhakikisha tafiti zinakamilika kwa wakati na kuleta majibu yatakayoboresha huduma za afya,” alisema Dkt. Chilumba.Kwa upande wake, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi – Sokoine, Dkt. Alexander Makalla, alisema kuwa majadiliano hayo yatasaidia kuzalisha nyaraka muhimu zitakazotumika kama mwongozo katika utoaji wa huduma kwa wagonjwa wa mabusha na matende.“Sisi kama Hospitali na wadau wengine tuko tayari na tumejipanga, msisite kutushirikisha pale mnapohitaji mchango wetu ili mradi huu uzalishe matokeo chanya,” alisisitiza Dkt. Makalla. Akizungumza katika mkutano huo, Mtafiti Mkuu wa Mradi wa TAKeOFF, Dkt. Akili Kalinga, alisema kuwa lengo la kikao ni kushirikisha wadau muhimu katika hatua za mwanzo za mradi ili kuhakikisha kila upande una uelewa na ushiriki wa pamoja. Ameeleza kuwa Lindi ni miongoni mwa mikoa yenye maambukizi makubwa, hivyo ni muhimu kuimarisha jitihada katika awamu hii ya pili. Katika mkutano huo, jumla ya tafiti tano ziliwasilishwa, ambazo zinatekelezwa chini ya mradi kuanzia mwaka 2024 hadi mwaka 2027, ambazo ni utafiti unaohusu Kulinganisha ubora wa mifumo ya kupima na kutibu kwa dawa ya ‘Doxycycline’ au ‘Moxidectin+Albendazole’ kwa kufananisha na Kingadawa ya ‘Ivermectin+Albendazole’ inayogawiwa kwa jamii kusaidia kutokomeza ugonjwa wa Matende na Mabusha nchini Ghana na Tanzania – Hatua ya 3 ya majaribio ya dawa katika mikoa ya Mtwara Lindi na Tanga, utafiti unaohusu Tathmini ya Maambukizi na changamoto kuelekea kutokomeza ugonjwa wa Usubi Tanzania: uzoefu wa eneo la maambukizi la Ruvuma baada ya zaidi ya miongo miwili ya ugawaji wa Kingatiba kwa jamii.Tafiti zingine zilizowasilishwa ni Ufuatiliaji wa maradhi ya Matende na Mabusha na jinsi ya kuyatolea taarifa kwa kuwatumia watoa huduma za afya wa jamii ili wagonjwa waweze kupata huduma za kupunguza madhara na kuzuia ulemavu katika vituo vya kutolea huduma za afya, Utafiti wa kuangalia Uhusiano kati ya magonjwa yasioambukiza (NCDs) na magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (NTDs) na utafiti wa Utambuzi wa vimelea vinavyosababisha homa za mitoki (ADL) kwa wagonjwa wa matende yanayosababishwa na minyoo ya Filaria.Mkutano huo wa siku moja uliofanyika Lindi umewakutanisha wadau wa afya ikiwamo kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi pamoja na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa( Sokoine), Watafiti na watumishi wa NIMR. Section Title NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende ByErick Mboma November 23, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More NIMR Strengthens Global Research Collaboration ByErick Mboma September 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) on 29th September 2025, launched a five-day research collaboration meeting at Mwanza Medical Research Centre, focusing on sharing research findings… Read More Wizara ya Afya Yazindua Baraza la Nimr Jipya ByErick Mboma September 28, 2025 Uncategorized Wizara ya Afya leo tarehe 26/09/2025 imezindua Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), hatua muhimu inayolenga kuimarisha utafiti wa kisayansi, kukuza ubunifu na… Read More CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section… Read More NIMR Yapongezwa kwa Mchango Mkubwa Katika Kukuza Tiba Asili ByErick Mboma August 31, 2025 Uncategorized Wananchi wanaendelea kunufaika na huduma za tiba asili kupitia tafiti, na uanzishwaji wa kiwanda cha kuzalisha dawa za tiba asili cha NIMR Mabibo kufuatia juhudi kubwa za Serikali kuhakikisha dawa… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus

NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende Read More »

New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial

The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the multi-country, multisite Phase III KALUMA trial of the novel malaria treatment KLU156 (GanLum) sponsored by Novartis. Conducted at sites including Muheza and Korogwe in Tanzania, this landmark trial enrolled 1,688 patients across 34 sites in 12 African countries. This important trial showed that GanLum works well or better than the current standard malaria treatment for uncomplicated malaria, Artemether-Lumefantrine (CoartemÂź). GanLum achieved a cure rate of 97.4%, making it a potential game changer for malaria treatment in endemic settings, especially against malaria parasites that are resistant to artemisinin-based treatments (ACT).Malaria resistance, especially partial resistance to artemisinin-based drugs, has become a growing threat across Africa, and evidence suggests regional spread, including Western Tanzania, Kagera region, reducing the effectiveness of current ACT therapies. The KALUMA trial directly tackled this emerging threat. The new drug, GanLum, contains a novel ingredient, ganaplacide, which works in a new way to fast kill parasites and have including those resistant to artemisinin also demonstrated transmission blocking potential. This innovation offers renewed hope for malaria control and elimination efforts in regions where partial artemisinin resistance is emerging and threatens malaria control success. The treatment also acts quickly against the parasite stages responsible for transmission, helping to reduce the spread of malaria in communities. If approved, GanLum would be the first major new non-artemisinin-based malaria treatment in over 25 years, offering a novel and efficacious tool to save lives and protect Tanzanian families from malaria cases and beyond. The trial was also implemented in other sites including Bagamoyo in collaboration with (IHI). NIMR is Tanzania’s leading health research institute under the Ministry of Health. With advanced laboratories and expert teams, NIMR drives biomedical research and clinical trials to improve malaria control and other health priorities. Working closely with the National Malaria Control Program (NMCP), local government, and health teams, NIMR translates research into public health action. NIMR has played a pivotal role in malaria control including landmark studies like the Aquamat trial, which informed WHO’s shift from Quinine to injectable artesunate for severe malaria treatment. It provided critical evidence for transitioning from Chloroquine to Sulfadoxine-Pyrimethamine and the adoption of Artemisinin-based Combination Therapies (ACTs) in 2006-2007. The institute has also led impactful studies on malaria chemoprevention in pregnancy and school aged children (IPTp and IPTsc), as well as vaccine trials including the RTS,S malaria vaccine recommended by WHO. NIMR has extensive collaboration and partnerships with local, international institutions, and sponsors, ensure Tanzania benefits from the latest global advances, enhance health resilience through cutting edge research and policy impact.For further details in reference:Press release #Novartis Phase III trial for next-generation malaria treatment KLU156 (GanLum) meets primary endpoint, with potential to combat antimalarial resistance~Novartis Section Title New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More NIMR Strengthens Global Research Collaboration ByErick Mboma September 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) on 29th September 2025, launched a five-day research collaboration meeting at Mwanza Medical Research Centre, focusing on sharing research findings… Read More Wizara ya Afya Yazindua Baraza la Nimr Jipya ByErick Mboma September 28, 2025 Uncategorized Wizara ya Afya leo tarehe 26/09/2025 imezindua Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), hatua muhimu inayolenga kuimarisha utafiti wa kisayansi, kukuza ubunifu na… Read More CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section… Read More NIMR Yapongezwa kwa Mchango Mkubwa Katika Kukuza Tiba Asili ByErick Mboma August 31, 2025 Uncategorized Wananchi wanaendelea kunufaika na huduma za tiba asili kupitia tafiti, na uanzishwaji wa kiwanda cha kuzalisha dawa za tiba asili cha NIMR Mabibo kufuatia juhudi kubwa za Serikali kuhakikisha dawa… Read More Tiba Asili Yazidi Kung’ara: Tafiti Zaidi Zahitajika ByErick Mboma August 29, 2025 Uncategorized Imeelezwa kuwa kuna uhitaji mkubwa wa kuendeleza tafiti za tiba asili na kuwekeza zaidi katika viwanda vya kuzalisha dawa za tiba hizo nchini, ili kuongeza tija katika kuboresha huduma za afya kwa… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial Read More »

NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa mwaka 2025.Katika kongamano hilo, watafiti kadhaa wa NIMR walishiriki na kuwasilisha jumla ya tafiti 16 za kisayansi 13 zikiwa posters na 3 ni mawasilisho kwa njia ya mdomo yanayohusu tafiti bunifu katika eneo la magonjwa ya tropiki. Uwakilishi huu umeonesha ubora na thamani ya tafiti za NIMR, pamoja na mchango wake katika kuzalisha ushahidi wa kisayansi unaosaidia kuendeleza afya ya jamii duniani.Katika hatua ya kujivunia, Bi. Catherine Bakari Mvaa ambaye ni mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Basel nchini Uswisi aliyefadhiliwa na mradi wa utafiti wa MSMT awamu ya kwanza wa NIMR alipokea tuzo ya Professor Dominic Kwiatkowski Fellowship ya Gates Foundation kutokana na ubora wa utafiti wake ikionyesha kutambuliwa kwa mchango wake katika maendeleo ya kisayansi.Kongamano hili ni jukwaa la kimataifa linalowakutanisha wanasayansi na wataalamu mbalimbali kujadiliana maendeleo ya kisayansi na kitabibu katika tiba ya magonjwa ya kitropiki. Kwa mwaka huu, kongamano hilo la siku tano limefanyika jijini Toronto, Canada kuanzia tarehe 9–13 Novemba 2025. Section Title New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial ByErick Mboma November 22, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the… Read More NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa ByErick Mboma November 17, 2025 Uncategorized Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imeendelea kung’ara kimataifa iliposhiriki katika kongamano la kisayansi la American Society of Tropical Medicine and Hygiene (ASTMH) kwa… Read More NIMR Leads Global Effort to Combat Arboviral Diseases Using One Health Approach ByErick Mboma October 10, 2025 Uncategorized In demonstration of leadership in global health research, the National Institute for Medical Research (NIMR) conducted a five-day Arboviral Workshop at NIMR Mbeya Medical Research Centre under the… Read More Baraza Jipya la NIMR Lapatiwa Mafunzo ya Uongozi na Utawala Bora kwa Taasisi za Umma ByErick Mboma October 9, 2025 Uncategorized Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi… Read More NIMR Strengthens Global Research Collaboration ByErick Mboma September 30, 2025 Uncategorized The National Institute for Medical Research (NIMR) on 29th September 2025, launched a five-day research collaboration meeting at Mwanza Medical Research Centre, focusing on sharing research findings… Read More Wizara ya Afya Yazindua Baraza la Nimr Jipya ByErick Mboma September 28, 2025 Uncategorized Wizara ya Afya leo tarehe 26/09/2025 imezindua Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), hatua muhimu inayolenga kuimarisha utafiti wa kisayansi, kukuza ubunifu na… Read More CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section Title CARDIOVASCULAR DISEASE SYMPOSIUM ByErick Mboma September 24, 2025 Uncategorized Section… Read More NIMR Yapongezwa kwa Mchango Mkubwa Katika Kukuza Tiba Asili ByErick Mboma August 31, 2025 Uncategorized Wananchi wanaendelea kunufaika na huduma za tiba asili kupitia tafiti, na uanzishwaji wa kiwanda cha kuzalisha dawa za tiba asili cha NIMR Mabibo kufuatia juhudi kubwa za Serikali kuhakikisha dawa… Read More Tiba Asili Yazidi Kung’ara: Tafiti Zaidi Zahitajika ByErick Mboma August 29, 2025 Uncategorized Imeelezwa kuwa kuna uhitaji mkubwa wa kuendeleza tafiti za tiba asili na kuwekeza zaidi katika viwanda vya kuzalisha dawa za tiba hizo nchini, ili kuongeza tija katika kuboresha huduma za afya kwa… Read More Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.

NIMR Yazidi Kung`ara Kimataifa Read More »