NIMR

Baraza jipya la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) limepatiwa mafunzo ya uongozi na utawala bora siku tatu kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025 na Taasisi ya Uongozi (Uongozi Institute). Mafunzo hayo yameandaliwa kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina na kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 6 hadi 8 Oktoba 2025.
Mafunzo haya yamelenga kuwaongezea wajumbe wa Baraza la Taasisi uelewa kuhusu majukumu yao katika kusimamia taasisi za umma kwa ufanisi, uwajibikaji na kwa kuzingatia misingi ya utawala bora na matumizi sahihi ya rasilimali za umma. Maeneo muhimu ambayo
washiriki pia walijifunza ni pamoja na mbinu za Kuimarisha ufanisi wa Baraza, utawala bora na utekelezaji wa majukumu ya Baraza ambapo walipata uelewa kuhusu dhana ya uongozi wenye matokeo na uhusiano kati ya Baraza na menejimenti.
Aidha wamejifunza kuhusu mikakati madhubuti ya kudhibiti vihatarishi ndani ya taasisi, uelewa wa mambo ya rasilimali fedha, ukaguzi, manunuzi ya umma na usimamizi wa rasilimali za umma na kuweka msisitizo katika matumizi bora ya kimkakati na yenye tija kwa manufaa ya wananchi.
Kupitia ushiriki wa NIMR, mafunzo haya yanatarajiwa kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Baraza likiwa na kazi muhimu ya kusimamia utekelezaji wa majukumu ya taasisi ili kuhakikisha matokeo ya tafiti yanachangia katika kuboresha sera, huduma za afya na ustawi wa jamii.

Section Title

NIMR Yaongoza Mdahalo wa Sera Kuhakikisha Ushahidi wa Kisayansi Unatumika Kukabili Milipuko ya Magonjwa

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) leo, tarehe 8 Januari 2026, imeendesha mkutano wa majadiliano ya sera uliowakutanisha watafiti, watunga sera, watoa maamuzi wa sekta ya afya...

NIMR Unveils Genomic Evidence Showing Predominance of Bacterial Pathogens in Acute Respiratory Infections in Tanzania

The National Institute for Medical Research (NIMR) disseminated on 22nd December 2025 research findings from the project titled Genomic characterization of Acute Respiratory Infections (ARI) Pathogens...

Beyond Clinical Surveillance: Wastewater and Environmental Monitoring Reveal Hotspots of Antimicrobial-Resistant “Superbugs”

A recent study presented at the 7th Africa Continental World Antimicrobial Awareness Week (WAAW) event has unveiled the “environmental resistome” in Tanzania. Using advanced genomic tools to analyse...

NIMR Disseminates Impactful Research Findings at the 7th Africa Continental World AMR Awareness Week

In a milestone event for the continent, Tanzania hosted the 7th Africa Continental World Antimicrobial Resistance (AMR) Awareness Week (WAAW) at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam from 2nd to...

NIMR Yawajengea Uwezo Watumishi wa Afya Temeke Kuandika Andiko la Utafiti ili Kuboresha Huduma za Afya za Jamii

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Kituo chake cha Muhimbili, imeendesha mafunzo maalumu ya uandishi wa andiko la kitafiti kwa watumishi wa afya kutoka Hospitali ya...

NIMR Conducts Institutional Review Boards Training to Elevate Clinical Trial Standards Nationwide

The National Institute for Medical Research (NIMR) has launched a specialized training program to members and secretariats of Institutional Review Boards (IRBs), aimed at strengthening national...

𝗡𝗜𝗠𝗥 Conducts Capacity Building Training for Clinical Trials Researchers

The National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), on 24th November 2025 conducted a specialized capacity-building...

NIMR na Wadau wa Afya Wafanya Mkutano wa Uzinduzi wa Utekelezaji wa Tafiti zilizo chini ya Mradi wa TAKeOFF wa Kupambana na Ugonjwa wa Mabusha na Matende

Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kupitia Mradi wa TAKeOFF awamu ya pili tarehe 20/11/2025 imefanya mkutano wa pamoja na kamati za afya za Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa...

New Hope for Malaria Treatment: Tanzanian Scientists Lead Groundbreaking Clinical Trial

The National Institute for Medical Research (NIMR) Tanga Medical Research Centre, led by Principal Investigator Dr. Samwel Gesase as the country Coordinator, has been instrumental in the...

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Ut elit tellus, luctus nec ullamcorper mattis, pulvinar dapibus leo.